Saturday, March 15, 2014

MZEE MAGALI AFICHUA SIRI NZITO JUU YA MGANGA WA KIENYEJI NA MASTAA, ANENA MAZITO SANA NA SIO SIRI TENA, DIAMOND NA WEMA WAMO MSTARI WA MBELE



Na Mwandishi Wetu
Msanii mongwe kwenye tasnia ya filamu Tanzania Charles Thobias Magali ameibuka na kuweka wazi kuwa mastaa kibao wa tanzania lazima wawe wamepitia kwa Dk Kamdege kupata baraka zake ndiyo waingie kwenye harakati za mafanikio ya kisupastaa.
 

Akiongea kwa njia ya simu na Gazeti hili Mzee Magari alisema kuwa mganga huyo amekuwa njia ya mafanikio kwa watu wengi hata yeye hawezi kusema uwongo amewahi kupitia kwake na ndiyo maana hadi sasa amefikia hapo alipo.
Msanii huyo aliongeza kusema kuwa " Unajua msema kweli mpenzi wa Allah huyu Dk Kamdege ameshawasaidia mastaa wengi kama kuna anaekataa huo utakuwa unafiki na ni dhambi kusema uwongo huyu Mganga amekumbia msaada kwa kila staa hata kwa majina mimi nawajua walioenda kwake na kufanikiwa mambo yao" Alisema Mzee Magali kwa kujiamini

Gazeti hili lilimtafuta mganga huyo kupitia simu yake ya mkononi yenye namba 0788-844490 na kwa bahati nzuri alipatikana na kueleza ukweli kamili " Ni kweli kama Mzee Magari kasema hivyo ni sahihi kabisa huyo ni kama babaangu kwani nimekuwa nikishirikiana nae mambo mengi sana kwenye isitoshe kwa mimi simpi mtu uchawi hapana bali namtengenezea mtu mambo yake ili afanikiwe na sio kumloga mtu" Alisema Mganga huyo mwenye ukaribu sana na mwanamuziki Diamond
Hata hivyo mganga huyo aliongeza kusema" Hii ni neema kwa watanzania mimi ni mtanzania na hiki kipaji nilichopewe na Mungu cha kujuwa miti shgamba nahitaji kuwasadia watanzania wenzangu popote walipo Tanzania hivyo kwa kipindi hiki ambacho nimetoka Dodoma na narejea Mkoani kwangu waendelee kuwa na mimi kabla ya mwezi wa tano kuanza ziara yangu nje ya nchi.
Kwa mujibu wa mganga huyo anasema 1. Anatibu magonjwa mengi sana kupitia miti shamba kama vile kisukari, kushikwa ganzi miguuni na mikononi, kung'alisha nyota ya mtu na kuwa na mafanikio makubwa, kama mtu anataka uongozi kazini, mafanikio ya kimaisha kung'alisha biashara yako na kukua kwa kasi kuweka ulinzi mali nzako ili wabaya wasichezee na kusafariki, wanataka kuoa ama kuolewa pamoja kuwa maarufu na mwenye pesa.
Na popote pale hata kama watu wako Marekani, Uingereza, Dubai, India, Uturuki, China, Afrika Kusini, Ujerumani, Kanada. Japanio, Hongkong, Malashia nk atawahudumia wakiwa huko huko waliko.

No comments:

Post a Comment