Sunday, January 12, 2014

HUYU NDO MWANADADA TAJIRI ZAIDI AFRIKA MASHARIKI, NA HIZI NDO MALI ANAZOMILIKI. TAZAMA PICHA HAPA, NI NOMA....:

 

 

 

 

Zari ni mrembo mwenye makazi yake Africa Mashariki katika nchi ya Uganda, Ni mrembo haswa mwenye umate mate
wakutosha wa kumwezesha kumiliki Usingizi mzuri magari ya kifahari yani full kipupwe. Maisha ya raha kwake ni sawa na doze anaweza kufanya chochote kwani umate mate unaongea. Lakini je umate mate huu umetokana na nini mimi na labda na wewe tutabaki kujiuliza bila majibu lakini mwenyewe anajua . 
Zari akiwa kajipumzisha nyumbani kwake, Jitiririshe chini
Huu ndiyo usingizi wake full kipupwe 
Unaweza kuona na kutambua kuwa kizuri kula na ndugu zako 
Usafiri wa kwendea sokoni ni habari ya mjini
Usafiri wa kwendae duka
Huu ni usafiri wa kwendea kwenye shughuri za kioffice 
Zari akiwa ndani ya duka lake la vito vya thamani
Usafiri huu ni mambo ya mitoko ya usiku kwenye viota vya maraha ndani ya jiji la Kampala
Uwani kwake magari ya wageni wakitaka kuzunguka mjini
Usafiri wa kumpeleka mtoto shule na kumrudisha
 
 

No comments:

Post a Comment