Thursday, November 28, 2013

TIZAMA PICHA DIAMOND ALIPOHUDHURIA MAFUNZO YA FURSA





Siku ya leo ilikuwa ndio hitimisho la semina ya
 Fursa inayosimamiwa na Clouds media,ni semina 
ilioyokuwa inatoa mafunzo ya namna ya kuztumia fursa,ama 
nafasi zinazotuzunguka kujikwamua na
 umaskin ama kujisogeza ,mahali ulipo 
kwenda ngazi nyingine ya juu,na
 mimi nilikuwa mmoja

 ya watu tuliotoa shuhuda za maisha yetu,jinsi tulikoanzia na
 jinsi tulivyochangamkia na 
kutumia nfursa zinazotuzunguka,na leo pia nilipata 
nafasi kidogo
 ya kuwaasa vijana wenzangu namna gani ya kuijikwamua na
 kuweza kutimiza ndoto zako..kwamba maisha hayaji ukiwa 
umekaa hapo ulipo pasipo
 kufanya kitu..na kubwa
 ninalopenda kuwaasa rafiki zangu na vijana wenzangu..ILI
 UFANIKIWE USIPENDE KUSEMA
 NITAFANYA BALI SEMA NINAFANYA....
Nikizungumza na mwandishi wa habari wa Clouds

Ads not by this site
Nikizungmza machache...!!
  
Nikisalimiana na mheshimiwa Raisi
 baada ya kuzungumza machache...
Ads not by this site
Mkuu wa Wilaya ya Chamwino Bi. Fatma Ally akielezea
 namna alivyoipata Fursa kwa
 kupitia Ufugaji wa Nyuki.


Mrisho Mpoto
                            


                                            Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza

Ads not by this site
Kifesi  akifanya yake........!!!!!
Zamarad wa Take 1,Castro Dickson na Maimatha
Niki note mambo mhimu aliyokuwa akizungumza Raisi.....

Ads not by this site
picha ya pamoja

No comments:

Post a Comment