Friday, October 11, 2013

UJUMBE KUTOKA KWA PENNY BAADA YA KUWA AMEZIMIA JANA NA KUPELEKWA HOSPITALINI


Girl Friend wa msanii wa bongo fleva 'Diamond' leo jioni amenitumia text kunifahamisha kuwa ' Alikuwa Kazini Siku Nzima Na Kuwa Hajapata Tatizo Lolote Leo Kuhusu Afya Yake. Taarifa Zilizo Sambaa Kuwa Alizimia Na Kupelekwa Hospitalini Sio Za Kweli Kabisa. 

No comments:

Post a Comment