PICHA ZA WATUHUMIWA 13 WALIOKUTWA WAKIFANYA MAZOEZI YA AL-SHABAAB NA AL-QAEDA
Hawa ni vijana wa kitanzania 13
ambao walikamatwa na jeshi la polisi Mtwara baada ya kupata
taarifa kwamba walikua wakifanya mazoezi ya kivita kwa kutumia CD za
Al Qaeda na Al Shabaab ambapo walikamatwa na hizo CD pamoja na
silaha mbalimbali kama ushahidi...
No comments:
Post a Comment