Ndege
iliyokuwa imebeba mwili wa marehemu ambaye alikuwa gavana wa Nigeria,
imepata ajali na baadhi ya abiria kufariki na wengine kukimbizwa
hospitali. Baadhi ya abiria hao walikuwa wanasindikiza mwili huo kwa
ajili ya maziko lakini safari iliingia hitirafu.Ajali hiyo ilitokea
baada ya injini kufeli ndege ikiwa hewani muda mfupi baada ya kupaa
kwenye airport moja huko Nigeria. Ndege ilikuwa na watu 20 na watu
watano ndiyo wamejeruhiwa na kukimbizwa hospitali
No comments:
Post a Comment