Friday, June 7, 2013

MAMA MZAZI WA MME WA KHADIJA KOPA ALIYEFARIKIA ALIVYOPOKEA TAARIFA ZA MSIBA



Mama Mzazi wa marehemu Jaffari Ally, Bi. Rehema Tuwa, akilia kwa uchungu nyumbani kwake Tandale jijini Dar
 
SIMANZI, vilio na majonzi vilitawala nyumbani kwa Mama Mzazi wa marehemu Jaffari Ally, Bi. Rehema Tuwa, Tandale jijini Dar.
Marehemu Jaffari ambaye alikuwa ni mume wa Malkia wa Mipasho nchini, Khadija Kopa amefariki dunia usiku wa kuamkia jana katika hospitali ya Jeshi ya Lugalo.
Marehemu Jaffari alikuwa Diwani wa kata ya Magomeni wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani wakati mama yake mzazi ni Mwenyekiti wa UWT Tandale.
Mungu ailaze roho ya marehemu Jaffari Ally mahali pema peponi. AMEN!.




Simanzi na majonzi vilitawala msiabani hapo.

Akina mama waliofika kumpa pole Mama Mzazi wa Jaffari.
       

No comments:

Post a Comment