Monday, June 3, 2013

BUSHOKE NA WATANZANIA WALIOKO SOUTH AFRICA WAMUAGA NGWEA TIZAMA PICHA

Watanzania waishio nchini South Africa, wamepata nafasi ya kuuaga mwili wa mwanamuziki ALBERT MANGWEA aliefia nchini humo … Hii hapa chini moja ya picha inayoonesha watu wakiaga mwili huo …
Ngwair-SA
Mwili wa Marehemu Ngwair utawasili kesho jijini Dar Es Salaam na kuagwa na fans, marafiki na ndugu katika viwanja vya leaders club, kinondoni kabla ya safari ya kwenda Morogoro, ambapo atazikwa huko karibu kabisa na kaburi la baba yake mzazi …
R.I.P Albert Mangweha.
Muda huu wa saa kumi na Mbili kwa saa za Afrika mashariki
kwa saa za South Africa ni
saa kumi na Moja jioni.....tukiwa bado tupo kwenye majonzi
makubwa yakupotelewa na ndugu yetu
Albert Mangweha.....Baada ya ratiba kupangika watanzania
waishio nchini South Africa
wamepata nafasi ya kuaga mwili wa Albert Mangweha
 kuelekea katika safari ya mwisho...wakiongozwa na Msanii
Bushoke na Mtoto wa Mhe. Kingunge Ngombale mwiru
,Kinjeketile wanaosimamia mipango ya kuaga mwili nchini South Africa

ZIFUATAZO NI PICHA 4 WATANZANIA WAISHIO SOUTH
 AFRICA WAKIAGA MWILI WA
ALBERT MANGWEHA:
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhZ0C55d4U2klqDwUn7838TJHASAOKwFH7OSPIb1SUK3gSC5XUz4TQ8W-IOsOlD-VTSnWbtXgu0SwUW1htoTPQY5NEHBXggbFlOVe9hNJYgEHWbJoUvSPTKzMaD0khN4sKe4oYGsOCTR5An/s640/IMG-20130603-WA006.jpg
Shugli ya kuaga mwili ikiendelea muda huu nchini South Africa.....
Kinjeketile katikati akiwa na watanzania waishio nchini South Africa...
Msanii Bushoke kushoto, Moja ya watu walioko bega kwa bega
kusimamia mipango ya kuaga mwili
nchini South Africa....

No comments:

Post a Comment