Mwenyekiti
wa Chama cha Sekta ya Ulinzi nchini (TSIA), Athuman Maige (katikati)
akizungumza jambo na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Dk Emmanuel Nchimbi
(kushoto) kuhusu masuala mbalimbali ya ushirikiano kati ya chama chake na
wizara hiyo. Kulia ni Katibu Mkuu wa chama hicho, Isaya Maiseli.
|
No comments:
Post a Comment