Wednesday, February 27, 2013

Watu Watatu Wamefariki Dunia Katika Ajali Iliyotokea Eneo la Kwasunga

Watu watatu wamekufa papo hapo kufuatia gari waliokuwa wamepanda aina Pajero lililokuwa likitokea jijini Dar es Salaam kwenda Arusha kuacha njia na kupinduka.

No comments:

Post a Comment