Wakati tukisubiria Muhusika wa kuja kuongea na Sisi ambaye ni Meneja Mauzo wa Star Times Waandishi tulikaribiswa na Soda mojamoja tukaanza kujiburudisha. |
Ameongeza kuwa baada ya Mtambo huo kumalizika wateja wa Dar es Salaam hawatapata shida tena ya tatizo la kuganda kwa Picha ambalo baadhi ya Wateja wanakumbana nalo.
Mpaka sasa Star Times inarusha chaneli 9 za kiswahili na wana mpango wa kuongeza nyingine hivi karibuni.
Baadhi ya Waandishi wa habari wakisikiliza kwa makini. |
No comments:
Post a Comment