Bondia David
Michael Mlope (Zola D – King) akipima uzito leo kwa ajili ya mpambano wa
idi pili utakaofanyika katika Uwanja huo huo wa Chuo cha Bandari Temeke
|
Mwenyekiti
wa SHIWATA Cassim Taalib katikati akiwainua mikono juu mabondia David
Michael Mlope (Zola D – King) kushoto na Alpjonce Joseph (Mchumiatumbo)
|
BONDIA
Alpjonce Joseph (Mchumiatumbo) AKIPIMA UZITO LEO KWA AJILI YA MPAMBANO WAKE NA
David Michael Mlope (Zola D – King) KULIA
|
Nani zaidi |