Lisa akizungumza na viongozi wa Kamati ya Miss Tanzania,
kutoka kushoto, Katibu Mkuu, Bosco Majaliwa, Mrembo Amisa Hassan, Mkurugenzi
Hashim Lundenga na Ofisa Habari wa Kamati, Haidan Rico
|
Lisa akila pozi ya picha na mmoja wa warembo waliofika
kumpokea Amisa Hassan. Lisa alifanikiwa kuingia Robo fainali za Top Model na
kumi na kumi bora ya Shindano la Multmedia Award 2012
|