Friday, August 31, 2012

KATI YA HAWA WAREMBO WATANO NANI ANAWEZA KUWA MISS KULIKO WENZIE?

Warembo wa 5, waliofanikiwa kutinga katika hatua ya Fainali ya shindano la Miss Kanda ya Mashariki, baada ya kuchuana vikali katika shindano lao dogo la Redd's Miss Kanda ya Mashariki Talent, lililofanyika jana usiku kwenye Hoteli ya Usambara, mjini Morogoro. Kutoka (kushoto) ni Mrembo, Joyce Baluhi, Shakhila Hassan, Zuhura Gola, Irene Veda na Salvina Kibona, wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kutangazwa washindi.



Mrembo Shakira Hassan

Mrembo Joyce Baluhu

Huyu ni Irine Thomas