Sunday, July 15, 2012

WAKAZI WA MBEZI BEACH KWENDA MAHAKAMANI.

Wanakijiji  32  wakaziwa Mbezi beach kata ya kilongawima wameapa kwenda mahakamani kudai haki yao kwa kubomolewa nyumba zao wakati walikuwa wanamiliki kihalali   huku baadhi yao wakiwa na nyaraka muhimu zinazo onyesha uhalali wao kumiliki maeneo hayo. anayeonekana ni mmoja wa waliobomolewa nyumba yake.