Sunday, July 22, 2012

RAISI KIKWETE AZINDUA MRADI WA MAJI MKOANI MBEYA LEO

Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk Jakaya Mrisho Kikwete (katikati)  akiongoza zoezi la kukata  utepe likiwa ni ishara ya kuzindua mradi wa maji safi na mazingira, mjini Mbeya leo mchana. Wakwanza kushoto ni Kamishna wa maendeleo ya Ulaya Adris Piebargs na wapili kutoka kushoto  ni Philberto Sebreggondi balozi wa jumuiya ya ulaya na mwisho kulia ni Waziri wa Maji Profesa Jumanne Magembe.

Rais Kikwete wakikagua Chanzo cha majieneo la Swaya mjini Mbeya baada ya uzinduzi leo mchana.