Monday, July 23, 2012

MWEZI MTUKUFU BIDHAA BEI JUU.

Hizi ni baadhi ya bidhaa ambazo zinauzwa bei ya juu tofauti  na ilivyokuwa kabla ya mfungo wa mwezi wa Ramadhani(mwezi mtukufu) ambapo chungwa moja kwa sasa linauzwa kwa shilingi 150 mpaka 200 wakati mwanzo lilikuwa linauzwa kwa bei ya shilingi 50 mpaka 100. Imekuwa ni kawaida ya bidhaa kuuzwa kwa bei ya juu ambapo wengi wa wananchi wamekuwa wakilalamikia bei hizi kutokana na wao kushindwa kuzimudu ipasavyo.

Viazi havikamatiki

Nazi na viazi vitamu ndo usiseme