Monday, June 25, 2012

OMOTOLA WA NIGERIA ATEMBELEA YATIMA WA TANZANIA MITINDO HOUSE

Mchezaji wa Filamu kutoka nchini Naigeria Omotola Jalade katikati akiwa katika picha ya pamoja jana  na mwigizaji Wema Sepetu kushoto na Khadija Mwanamboka pamoja na watoto yatima wa kituo cha  Tanzania Mitindo House cha jijini Dar es salaam Omotola amekuja nchini kwa ajili ya uzinduzi wa filamu ya Wema Sepetu ianayokwenda kwa jina la, Super Star ambayo imezinduliwa juzi kwenye hoteli ya Hyyat Kilimanjaro jijini Dar es salaam PICHA KWA HISANI YA 8020FASHION

Omotola Jalade na Wema Sepetu wakiwa katika picha ya pamoja na watoto yatima wa kituo cha Tanzania Mitindo House.