Tuesday, June 12, 2012

MACHINGA COMLEX YAPATA UONGOZI MPYA

Mwenyekiti wa soko la machinga Complex Bw.Abubakari Rakeshi (katikati)akiongea katika mkutano wa wafanyabiashara wa soko hilo leo jijini Dar es salaam katika kutambulisha uwongozi upya wa soko hilo na kuhakiki wafanyabiashara wangapi walioko ndani ya soko hilo na wangapi hawapo  (kushoto)Mwenyekiti msaidizi wa soko hilo Bw.Geradi Mpagama.(na wakwanza kulia) Meneja wa jengo la machinga COMPLEX Bw.Nyamsukura Masondore,mkutano huo ulifanyika katika soko la machinga COMPLX leo.

Baadhi ya Wafanya biashara wa soko hilo waliohudhuria katika mkutano huo