Sunday, April 14, 2013

RAIS UHURU KENYATA ANATISHA KWA UTAJIRI..!!!


Rais mpya wa Kenya ndiye Rais Tajiri kuliko wote katika Africa:-
1. Anashika Nafasi ya 26 kwa utajiri katika Africa na kushika 
Nafasi ya kwanza kwa Marais wa Africa, akiwa
 na USD $ 500,000.00
2. Ana Heka 500,000 za Ardhi ambayo ni yake aliyorithi
 toka kwa Baba yake, aliyekuwa Rais wa kwanza wa Kenya.
3. Anamiliki Kampuni kubwa ya Maziwa na Nyama kuliko
 zote Kenya, Brookside Dairies Inc. pamoja na TV Station
 kubwa kuliko zote Kenya ya K24 TV na pia na Bank
 kubwa sana Kenya.

No comments:

Post a Comment