Friday, April 19, 2013

PICHA TATU ZA ULINZI MAHAKAMANI JANA KESI YA PONDA

 
Picture
Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania Sheikh Ponda Issa Ponda (kulia) akiwa na mshitakiwa mwenzake Saleh Mukadam wakielekea kupanda basi la magereza baada ya hukumu ya kesi yao ya uchochezi kuahirishwa hadi Mei 9, 2013. (Picha na Habari Mseto Blog)
Picture
Wafuasi Sheikh Ponda wakiwa wamekusanyika nje ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam leo.
Picture
Askari wakiimarisha ulinzi nje ya Mahakama ya hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam

No comments:

Post a Comment