Tuesday, April 9, 2013

LOWASA NA KINANA

Aliyewahi kuwa Waziri Mkuu, ambaye sasa ni Mbunge wa Monduli, CCM, Mh Edward Lowasa (kushoto) na Katibu Mkuu wa CCM, Mh Abdurahamani Kinana (kulia) walikutana katika maeneyo ya ofisi ya Waziri Mkuu jijini Dar es Salaam hivi karibuni na kubadilishana maawazo.

(picha, maelezo kutoka kwa Chris Mfinanga)

No comments:

Post a Comment