| Kikundi cha sanaa cha Pamoja Group kikijiandaa kuingia ndani kwenye Nyumba ya kulelea Watoto yatima kwa ajili ya kutoa msaada. |
Kikundi cha Sanaa cha
Pamoja kimetoa Msaada kwa Watoto yatima
cha CHAKUWAMA kilichopo jijini
Dar es Salaam.
Wakizungumza na waandishi wa Habari leo wakati wakitoa
Misaada hiyo wasanii hao wamesema kuwa wameguswa na wakaona watumie kile kitu
kidogo wanachokipata kugawana na wengine wenye maisha magumu.
| Wasanii wa Pamoja Group wakishangilia kuwaona watoto hao |
|
Mlezi wa Kundi la Pamoja Sanaa Group akimkabidhi motto Yatima
Hadija Joseph, Juice ikiwa ni moja ya
Baadhi ya Bidhaa walizowapa watoto hao.
|
| Mafuta nayo yalikuwepo katika baadhi ya Msaada walioutoa |
| Maji pia |
| Kikundi kiliamua watoto hao waonje juice hapo hapo wakiwa wanaona |
| Watoto wanafurahia zawadi kutoka kwa Pamoja Sanaa Group |
| Tupo pamoja Hoeme Boy |
No comments:
Post a Comment