CCM KIRUMBA KUWAKA MOTO LEO WAKATI WA MECHI KATI YA YANGA NA TOTO AFRIKA
KIKOSI
kizima cha timu ya yanga leo kimetua jijini mwanza kwa ajili ya
kuendelea na mechi zake za ligi kuu ya vodacom na kesho kinatarajiwa
kuingia katika kiwanja cha CCM kirumba kuchuana vikali na wenyeji wao wa
mkoani ambapo ni timu ya Toto Afrika