Kufuatia kutoweka kwa Sheikh Farid na wafuasi wake kuvamia na kuharibu
Ofisi za CCM jana huko Zanzibar, usiku wa jana, wafuasi wa uamsho
wamemuua kikatili Polisi ambaye amefahamika kwa jina moja la Said alipokuwa akitoka kazini.
Tukio hilo limesababishwa na Kikundi cha Uamsho huko Zanzibar linalomtafuta Kionozi wao aliyepotea jana na hajulikani halipo.
Taarifa nilizopata na ambazo sio Rasmi zinasema kuwa katika vurugu za jana askari polisi amechinjwa jana na waandamanaji wa uamsho.
Habari hii ni kwa hisani ya Mtandao