Thursday, November 20, 2014

Kwa wale watumiaji wa mboga za majani Dar, hii imetokea jana kwenye habari

dothao-12190000Huenda wewe ni mmoja kati ya walaji wa mbogamboga za majani lakini hujui mboga hizi zinalimwa katika mazingira gani… sasa baraza la mazingira Tanzania NEMC limebaini kuwa wakulima wa mboga za majani Dar wamekuwa wakitumia majitaka kumwagilia hizi mboga.
Afisa wa NEMC amezungumza na ITV na kusema; “… Kama Serikali hatuwezi kuruhusu kitu kama hicho.. hatutaruhusu tena kumwagilia kinyesi kwenye mchicha, haturuhusu hicho kitu, hakuna serikali hiyo ambayo itaruhusu vitu hivi…

No comments:

Post a Comment