Monday, March 10, 2014

UNAAMBIWA YULE KIJANA ALIYEJICHINJA NA SIME NDANI YA BASI..UNAAMBIWA BADO NI MZIMA HAKUFA


Hii ni habari ambayo ililipotiwa na vyombo mbalimbali vya habari kuhusu Abria aliyejichinja ambaye alikua msafiri wa kutoka Lindi kuelekea Dar es salaam,na bus alilosafiri nalo ni mali ya kampuni ya Maning Nice.
Basi hilo lenye namba za usajili T574 CQD ambalo linafanya safari zake za Dar es salaam na Mtwara saa 6 mchana,millardayo.com imepata nafasi ya exclusive interview na Dereva la basi hilo anayeitwa Rashidi Mohamed ambaye alikuwepo kazini siku ya tukio.

Dereva Rashid anaanza kuelezea>>’Abiria wangu alikua amekaa siti namba 68 na 59 pamoja na ndugu yake,hao jamaa walipandia Lindi,cha kusahangaza baada ya kufika sehemu moja inaitwa Nangulukuru mkoa wa Lindi sehemu ambayo mabasi yote tunapaki kwa ajili ya kupata chakula’
‘Abiria wote walipoteremka dakika 3 yule jamaa akarudi tena ndani ya basi utaratibu wangu watu wote wakishuka huwa nafunga milango ya gari kwa rimoti mpaka watu wote wakimaliza kula tunaingia tena ndani ya basi kwa pamoja kwa ajili ya usalama zaidi’
‘Jamaa alivyopanda nikashangaa huyu jamaa mbona amepanda kabla ya watu kumaliza chakula nilivyoenda kumuangalia nikamkuta ana sime yuko kwenye boneti yani eneo langu la kazi yaani nikiwa na maana sehemu ya kitanda nikamkuta anajichoma kisu aina ya sime’

Home » General News » Kuhusu abiria aliyejichinja akitokea Lindi kwenda Dar es salaam.

Kuhusu abiria aliyejichinja akitokea Lindi kwenda Dar es salaam.
Posted by: TZA two March 9, 2014 General News19 views
1Hii ni habari ambayo ililipotiwa na vyombo mbalimbali vya habari kuhusu Abria aliyejichinja ambaye alikua msafiri wa kutoka Lindi kuelekea Dar es salaam,na bus alilosafiri nalo ni mali ya kampuni ya Maning Nice.
Basi hilo lenye namba za usajili T574 CQD ambalo linafanya safari zake za Dar es salaam na Mtwara saa 6 mchana,millardayo.com imepata nafasi ya exclusive interview na Dereva la basi hilo anayeitwa Rashidi Mohamed ambaye alikuwepo kazini siku ya tukio.
5Dereva Rashid anaanza kuelezea>>’Abiria wangu alikua amekaa siti namba 68 na 59 pamoja na ndugu yake,hao jamaa walipandia Lindi,cha kusahangaza baada ya kufika sehemu moja inaitwa Nangulukuru mkoa wa Lindi sehemu ambayo mabasi yote tunapaki kwa ajili ya kupata chakula’
‘Abiria wote walipoteremka dakika 3 yule jamaa akarudi tena ndani ya basi utaratibu wangu watu wote wakishuka huwa nafunga milango ya gari kwa rimoti mpaka watu wote wakimaliza kula tunaingia tena ndani ya basi kwa pamoja kwa ajili ya usalama zaidi’
‘Jamaa alivyopanda nikashangaa huyu jamaa mbona amepanda kabla ya watu kumaliza chakula nilivyoenda kumuangalia nikamkuta ana sime yuko kwenye boneti yani eneo langu la kazi yaani nikiwa na maana sehemu ya kitanda nikamkuta anajichoma kisu aina ya sime’
3‘Nikastaajabu kwa sababu sijawahi kuona vitu kama hivi naonaga tu kwenye mitandao sijawahi kuona mtu ana kwa ana anafanya vitu hivyo nilipomuuliza kwanini anafanya hivyo alinipa ishara kwamba nitulie tu wakati huo abiria wengine wako kwenye vibanda wanaendelea kula hawajui kinachoendelea ndani ya basi’
‘Baada ya kuwa naendelea kumwambia yeye ananiashiria nimuache yaani nisiendelee kumpigia kelele akawa anatoa sasa kisu tumboni anaanza  kujichinja kama kuku shingoni zaidi ya mara 3 au 4 mpaka kunaachana kama mdomo vile yaani mfano upana wa uwazi wa mdomo na damu zikaanza kutoka yaani hata kama akifoka damu zinatoka tumboni zinatokea shingoni na si mdomoni’
‘Nikaanza kupiga kelele watu wakajaa tukamuita Meneja wa hotel akapiga simu polisi baada ya nusu saa wakaja polisi lakini walikuta jamaa yuko hoi ameshalala chini na damu zimetapakaa kwenye gari’
‘Yule jamaa nilipata neno lake moja anaitwa Kulwa kwa sababu yule ndugu yake alivyokuja akaanza kupiga kelele huku akiita ‘Kulwa kwanini unajiua,kulwa kwanini unajiua’baada ya hivyo yule ndugu yake akaanza kukimbia’
‘Tulimfukuza akarudi pale akaanza kusema kuwa huyu jamaa alikuwa anafanya kazi Lindi hakuwa na cha kuzungumza pale,baada ya polisi kuja wakamchukua jamaa wakamuweka chini ya ulinzi na Yule jamaa mwingine tayari macho alikua kashaanza kugeuza geuza’
‘Sisi tuliendelea kusubiri kuanzia hiyo saa 9 Alasiri mpaka saa 11 jioni mkuu wa kituo wa Kilwa Masoko alivyokuja kunihoji,mwisho wa mchezo Yule jamaa akapelekwa Kilwa Masoko,lakini siku ya pili wakati tunarudi Mtwara tulipishana nae na gari ya polisi analetwa Muhimbili baada ya Madaktari wa Kilwa Masoko kushindwa hilo zoezi’
‘Pale hakufariki watu wote tuliamini amefariki maana macho alishafumba na alikua hana uwezo maana hatua ya mwisho wakati anataka kudondoka chini aliomba karatasi na kuandika ‘kaka’ halafu akakata kauli hakuweza kuandika tena lakini aliashiria tumkamate yule jamaa yake aliesafiri nae alikua akiashiria kwa mikono yake’
‘Humu ndani tulipakia wamasai 3 wale wamasai nahisi walivyoteremka pale Nangulukuru kula mmojawapo alikua na Sime ambayo aliiacha kwenye kiti,walikua wamekaa siti namba 6 na 9 ni karibu na mbele hapa,nafikiri walipoteremka jamaa aliliona lile sime na ndiyo maana wao walivyoteremka tu kwenda kwenye chakula yeye akarudi kwenye basi’
‘Nafikiri alilidhamiria lile sime ndiyo maana alivyoingia tu alifanya kile kitendo bila kuchelewa na wale wamasai baada ya kuja polisi wakakataa lakini wawili walikua na mapanga yao kiunoni lakini yule mmoja akakataa akasema ameliacha pale alisafiri na rungu tu’.
Tunaendelea kufatilia kujua hali ya mgonjwa ikiwa ni pamoja na Kauli ya Jeshi la Polisi mkoa wa Lindi,endelea kuwa mwanafamilia wa millardayo.com ili uendelee kupata habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment