Thursday, February 27, 2014

SERIKALI YATANGAZA AJIRA ZA WAALIMU 2014.


Hatimaye serikali imetangaza ajira mpya za waalimu zilizokuwa
zikisubiriwa kwa hamu. Kwa maelezo zaidi nunua gazeti la uhuru. Majina
bado hayajatolewa, ngoja niwaonjeshe kdg nukuu hii.

"Serikali yatoa nafasi za
walimu zilizokuwa
zikisubiliwa kwa muda
mrefu na wahitimu
waliomaliza vyuo
mbalimbali kwa mwaka 2014, Akiongoea na
waandishi wa habari Mh
Jenista Mhagama
amesema jumla ya
walimu 26750
wamepangwa sehemu mbalimbali nchini,wengi
wakienda katika shule
mpya zilizojengwa na
serikali na kuonya
kwamba yeyote atakae
toroka kituoni na kuchukua pesa za
serikali atachukuliwa
hatua kali za kisheria.
CHANZO MAELEZO LEO
SAA TATU NA NUSU
09:30 (OFISI ZA WIZARA YA ELIMU)"

No comments:

Post a Comment