Tuesday, February 4, 2014

PICHA ZINATISHA PLIZ... MTU MMOJA AFARIKI DUNIA BAADA YA KUJERUHIWA NA MAMBA MKOANI TANGA...!



Moja ya majeraha makubwa kwenye mwili wa marehemu yaliyopelekea kifo chake
Mtu mmoja amefariki dunia baadaa ya kujeruhiwa na mamba Korogwe mkoani  Tanga,Jina la marehemu halikuweza kufahamika mara moja.....!

Wanainchi wa eneo la la kijiji cha Korogwe wakiwa wameuzunguka mwili wa marehemu.


No comments:

Post a Comment