Tuesday, November 19, 2013

UKATILI WA KIJINSIA WAZIDI KUOTA MIZIZI MBEYA


Mtoto Jesca Varelia 10   mwanafunzi wa darasa la tatu shule ya msingi Mlimani sinde jijini Mbeya anatumikishwa na mama yake wa kambo kuuza mboga muda wa masomo  

Moja ya wateja wakinunua Mboga hizo toka kwa mtoto Jesca

No comments:

Post a Comment