Sunday, November 24, 2013

PICHA 30 NAMNA P-SQUARE WALIVYOKINUKISHA DSM,LADY JD,BEN PAUL,WEUSI NA PROF.J WALIFUNIKA KINOMA NOMA

   
Peter na Paul Okoye wa kundi la P-Square wakilivamia jukwaa la Leaders usiku huu.
Mashabiki wakipagawa na shoo ya P-Square.
yao…
Joh Makini akilitawala jukwaa.
Nikki wa Pili (kushoto) na G Nako wakifanya yao stejini.
Kundi la Weusi likiongozwa na Joh Makini likishambulia jukwaa la Leaders Club kabla P-Square hawajapanda usiku huu.
Mwanamuziki Joseph Haule 'Profesa Jay' akiwapagawisha vilivyo mashabiki waliohudhuria shoo ya P-Square Live in Dar ndani ya Viwanja vya Leaders Club vilivyopo Kinondoni jijini Dar.
Nyomi baada ya kuikubali vilivyo shoo ya Profesa Jay.
(PICHA NA MUSA MATEJA / GPL)
Mwanamuziki Judith Wambura 'Lady Jaydee' au 'Anaconda' akiwapagawisha mashabiki wake waliohudhuria katika Viwanja vya Leaders Club usiku huu katika shoo wa wakali P-Square.
Watu... Jideeeeeeeeeeee...
Machozi Band nao walikuwepo kumback up Jide.
.…
Mwanamuziki Ben Pol akiwasha moto katika steji ndani ya Viwanja vya Leaders usiku huu katika shoo ya P-Square Live in Dar.
Nyomi ikifuatilia shoo ya Ben Pol.
Ben Pol akiimba sambamba na mwanadada.
(Picha zote na Musa Mateja / GPL)

No comments:

Post a Comment