Hizi ni Picha za Mwanaume wa kabila Moja huko Ethiopia anayetembea Uchi kuonyesha jinsi alivyonona kutokana na Kunywa Damu na Maziwa ya N'gombe, Kwa mujibu wa Dialy Mail katika kabila linaloishi pembezoni mwa Ethiopia, Omo Valley ndipo alipoonekana mwanaume huyo anafahamika kwa jina la Gorge anayekunywa damu na maziwa ya ng'ombe ili kupata taji la kuwa mwanaume mnene!
Miezi sita baada ya kuanza zoezi la kunywa damu
ya ng'ombe na maziwa,mwanaume huyo ameonyesha muonekano wake.
No comments:
Post a Comment