Friday, September 13, 2013

PADRI AMWAGIWA TINDIKALI TEA HUKO ZANZIBARA

PADRE
ANCELMO MWANG'AMBA baada ya kumwagiwa tindikali leo na watu wasiojulikana anaonekana akiwa na maumivu makali huku suruali yake ikiwa imeathiriwa na Tindikali hiyo.
Padre Ancelmo
Mwang'amba wa Kanisa Katoliki Parokia ya Cheju
Zanzibar amemwagiwa
tindikali katika mgahawa
wa Sun Shine uliopo
Mlandege, Zanziabar.
Habari zaidi zitawajia baada ya muda kidogo

No comments:

Post a Comment