Thursday, September 26, 2013

MAGAIDI WAENDELEA KUIANDAMA KENYA....WALIPUA TENA KITUO CHA POLISI NA KUUA POLISI WAWILI..!!



Taarifa zilizotufikia hivi punde zinaeleza kuwa watu wanaozaniwa kuwa ni magaidi wamevamia kituo cha Polisi katika Mji wa Mandera nchini Kenya na kuwaua polisi wawili, watatu wamejeruhiwa vibaya na baadaye kuchoma magari zaid ya 11

No comments:

Post a Comment