Mwenda amesema kuwa, wananchi nao wanatakiwa kutoa taarifa wanapo ona kuwa kuna ujengwaji wa holela wa Majengo katika Manispaa hiyo.
"Kama mwananchi ameona kuna jengo lina jengwa na hakuna kibao chochote cha kuonyesha uhalali wa jengo hilo, atoe taarifa katika ofisi ya Serikali ya Mtaa au katika Manispaa ya Kinondoni ili hatua Zichukuliwe Mapema", Amesema Meya.
| Hili ni Ghorofa lililokaguliwa leo na Meya wa Manispaa ya Kinondoni linalomilikiwa na Mtu aliyefahamika kwa jina moja Dkt, Mambo ambapo alitoa amri ya kusitishwa ujenzi wa Jengo hilo. |
| Mkandarasi Mkuu wa Manispaa ya Kinondoni akifafanua jambo mbele ya Viongozi waliokuwemo wakati wa kusitishwa kwa ujenzi wa Jengo hilo. |
| Hili ni shimo lililokuwemo katika Jengo hilo |
No comments:
Post a Comment