Saturday, March 30, 2013

UPDATE: IDADI YA MIILI ILIYOPATIKANA KWENYE GHOROFA LILILOANGUKA DAR IMEFIKIA 21 MPAKA SASA



Miili ya watu iliyoopolewa kutoka kwenye vifusi vya jengo lenye ghorofa 16 lililoanguka jana katikati ya jiji la Dar es Salaam, imefikia 21.
BGkNxjCCQAEyljV
Shughuli za uokoaji zilizoanza jana bado zinaendelea kwa siku ya pili huku kukiwa na taarifa za kuwepo miili zaidi kwenye vifusi hivyo.

Jana Rais Jakaya Mrisho Kikwete alitembelea katika eneo la jengo hilo lililoporomoka lililopo Mtaaa wa Indira Gandhi/Morogoro.

BGhTCALCEAA5EUX
BGhxvZyCAAACKUS
BGj2L20CcAAk2Qh
BGk_iPYCMAA0JzE
BGkGOFQCAAAxCuR
BGkHMJ2CYAAqKHE
BGkhNw7CAAA6hR1
BGkOUrrCIAAEF5U
BGlcQBeCUAA_li0
BGlhHCDCAAEk1YB
BGlHo3LCAAEzet7
BGlKKpQCEAAD_Nd
BGlNk-ACMAIQnCd
BGlTF1nCQAEJ5Sx
BGlTUDmCAAAtzar
BGlvUhpCEAAbSNA

Picha ya watoto waliopoteza maisha kwenye jengo hilo
Picha ya watoto waliopoteza maisha kwenye jengo hilo 2
Picha na Task Force @WaljiAli Twitte

No comments:

Post a Comment