Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipata maelezo juu ya ujenzi wa
jengo la kitivo cha Teknohama toka kwa Bw. Hamza Mustafa Njozi kabla ya
kuzindua rasmi jengo la Kitivo cha Sayansi la Chuo Kikuu cha Kiislamu
Morogoro leo Machi 14, 2013 mjini Morogoro. Kushoto kwake ni Mkuu wa
Chuo hicho Mama Mwantumu Malale.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akifunua pazia kuzindua rasmi
jengo la Kitivo cha Sayansi la Chuo Kikuu cha Kiislamu Morogoro leo
Machi 14, 2013 mjini Morogoro. Kushoto kwake ni Mkuu wa Chuo hicho Mama
Mwantumu Malale.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na mmoja wa wahadhiri
Profesa Juma Mikidadi Mtupa (aliyeketi) Mkuu wa Chuo Kikuu cha Waislamu
Morogoro, Mama Mwantumu Malale, Makamu Mkuu wa Chuo hicho Hamza Mustafa
Njozi na wadau baada ya kuzindua rasmi jengo la Kitivo cha Sayansi la
Chuo Kikuu cha Kiislamu Morogoro leo Machi 14, 2013 mjini Morogoro.
Kushoto kwake ni Mkuu wa Chuo hicho Mama Mwantumu Malale.
No comments:
Post a Comment