Wednesday, December 5, 2012

NAIBU WAZIRI KATIBA NA SHERIA AZINDUA SIKU YA HAKI ZA BINADAMU

Naibu Waziri wa katiba na sheria  Mhe.Angellah  Kairuki  akisoma  hotuba wakati  wa uzinduzi wa  siku  ya  haki  za  binamu kwenye  viwanja  vya  mnazi  mmoja  jijini Dar es  salaam leo (katikati)mwenyekiti  wa  tume ya  haki za binadamu  Amiri Manento(kulia)Katibu  mtendaji   tume ya haki za binadamu Bi. Meriy  Massay.
(PICHA NA PHILEMON SOLOMON WA FULLSHANGWE)

No comments:

Post a Comment