Mkurugenzi Mtendaji wa BQ Contractors Limited ambao ndio wadhamini wa Mashindano hayo Eng John Bura amesema kuwa wameamua kudhamini michuano hiyo kutokana na kampuni yake kujali na kuthamini michezo.
Mshindi atakayepatikana katika mashindano hayo anatarajiwa kupelekwa nchini Kenya kushiriki mashindano ya Tennes yatakayofanyika janury mwakani.
Waziri Mkuu msataafu Mh, Fredrick Sumaye ndiye anayetarajiwa kuwa Mgeni rasmi ambapo atahusika katika Utoaji wa zawadi za washindi watakaofanikiwa kushinda leo hii.
| Huyu ndiye Eng John Bura Mkurugenzi wa BQ contracors aliyejitolea kudhamini mashindano hayo ambapo alisema kuwa lengo lake ni kukuza mchezo wa Tennis ufahamike kama michezo mingine. |
| Wachezaji walikuwa wanajiandaa kwa mashindano ambayo kilele chake ni loa ambapo Mgeni Rasmi atatarajiwa kuja kutoa zawadi kwa washindi. |
No comments:
Post a Comment