Haijulikani aliyetekeleza mauaji hayo ya usiku wa kuamkia leo huku kukiendelea kuwa na hali ya wasiwasi miongini mwa waisilamu na maafisa wa usalama mjini humo.
MAITI ZA MASHEIKH...
|
Salim Adbi pekee ndiye aliyenusurika kifo
Sheikh Ibrahim Rogo alikuwa muhubiri
katika msikiti alipokuwa akihubiri marehemu Sheikh Aboud Rogo ambaye
pia aliuawa kwa kupigwa risasi.
Aliuawa na watu wengine watatu walipokuwa wanrejea nyumbani Alhamisi usiku baada ya kuhubiri.
Sheikh Rogo alishutumiwa kutoa mafunzo yenye itikadi kali yaliyowashawishi vijana kujiunga na makundi ya kigaidi kama Alshaabab.
Mauaji haya ni sawa na ya marehemu Aboud Rogo Mohammed mwaka jana na ambayo yalisababisha ghasia mjini humo.
Yanakuja wiki mbili tu baada ya shambulizi la kigaidi lililofanywa dhidi ya jumba la maduka la Westgate ambapo watu 67 waliuawa
Kundi la kigaidi la al-Shabab lilikiri kufanya mashambulizi hayo ya kigaidi.
Aboud Rogo alidaiwa kuwa na uhusiano na kundi la kigaidi la al-Shabab na baadhi ya waisilamu walioshutumu polisi waliomuua walisema kuwa yalikuwa madai tu wala.
Ibrahim Rogo alionekana kama mrithi wa marehemu Aboud Rogo, alipohutubu katika msikiti huo.
The successor of the slain Muslim cleric Sheikh Aboud Rogo, Sheikh Ibrahim Rogo was gunned down with three others on Thursday night by unknown assailants.
Aliuawa na watu wengine watatu walipokuwa wanrejea nyumbani Alhamisi usiku baada ya kuhubiri.
Sheikh Rogo alishutumiwa kutoa mafunzo yenye itikadi kali yaliyowashawishi vijana kujiunga na makundi ya kigaidi kama Alshaabab.
Mauaji haya ni sawa na ya marehemu Aboud Rogo Mohammed mwaka jana na ambayo yalisababisha ghasia mjini humo.
Yanakuja wiki mbili tu baada ya shambulizi la kigaidi lililofanywa dhidi ya jumba la maduka la Westgate ambapo watu 67 waliuawa
Kundi la kigaidi la al-Shabab lilikiri kufanya mashambulizi hayo ya kigaidi.
Aboud Rogo alidaiwa kuwa na uhusiano na kundi la kigaidi la al-Shabab na baadhi ya waisilamu walioshutumu polisi waliomuua walisema kuwa yalikuwa madai tu wala.
Ibrahim Rogo alionekana kama mrithi wa marehemu Aboud Rogo, alipohutubu katika msikiti huo.
The successor of the slain Muslim cleric Sheikh Aboud Rogo, Sheikh Ibrahim Rogo was gunned down with three others on Thursday night by unknown assailants.
Mr Rogo with
four others were heading home from Musa mosque where he had just
finished preaching when their vehicle was sprayed with bullets killing
four of the five occupants about half a kilometre from Bamburi police
post.
The others in the vehicle were Gadaffi Mohammed
who is said to be a carpenter, Issa Abdalla whose sister is married to
Gadaffi was the driver of the car, Omar Abu Rumeisa and Salim Aboud who
survived the attack by playing dead.
Salim Aboud said
they were heading home in a Toyota Fun Cargo when people on foot started
shooting at their car until the car veered off the road.
"We
have finished them," Mr Salim Aboud heard them say as he pretended to
be dead. The assailant are said to have sped-off in a Mark X.
Other
Muslim leaders, including Sheikh Abubakar Sheriff alias Makaburi who
arrived at the scene later, pointed accusing fingers at the Anti
Terrorism Police Unit.
"The ATPU were here, why have
they run way? What are we going to do next and why are they killing us?
We have not killed any one but the police are killing innocent Muslims,"
said Mr Makaburi.
"This actions are being led by
Americans and Israelis, Sheikh Ibrahim was not at Westgate during the
attack. Western governments do not want Muslims to talk about Jihad. It
is part and parcel of Islam, kill us all," he said.source: BBC AND DAILY NATION.
No comments:
Post a Comment