Meneja Mawasiliano kutoka Mamlaka
ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Innocent Mungi akitoa mada wakati wa
semina ya siku mbili inayohusisha wamiliki wa magazeti tando (Blogs)
kwenye semina iliyoandaliwa na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), Profesa John Nkoma akielezea namna Ukubwa wa Sekta ya Mawasiliano hapa nchini unavyokuwa kwa kasi wakati
wa Warsha ya siku mbili kwa wamililiki wa magazeti tando (Bloggers),iliyoanza leo ambapo warsha hiyo inafanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Makao Makuu
ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), jijini Dar es
Salaam.
Dr Raynold C Mfungahema mkurugenzi
wa watumiaji na watoa huduma kutoka TCRA akitoa akielezea mada juu ya
Matumizi sahihi ya mitandao ya kijamii katika semina inayohusisha
wamiliki wa Magazeti Tando (Bloggers) na wasimamizi wa tovuti
Joe Musheru CEO wa kampuni ya
Google katika Ukanda wa Afrika akitoa mada kwenye semina inayoendeshwa
na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania itakayofanyika kwa siku mbili
ikuhusisha Wamiliki wa Magazeti tando au Blog na wasimamizi wa tovuti
hapa nchini
Joe Musheru .CEO wa Google kanda
ya Afrika (hayupo pichani) akielezea mabadiliko ya teknolojia kwa
kulinganisha na mabadiliko ya Binadamu wa kale kama ambavyo inaonekana
katika picha kwenye Semina ya siku mbili iliyoandaliwa na Mamlaka ya
Mawasiliano Tanzania ikuhusisha Wamiliki wa Magazeti tando au Bloggers
na wasimamizi wa tovuti
Rais wa Google Afrika Joe Musheru
akitoa mada kwa wamiliki wa magazeti tando au bloggers na wasimamizi wa
tovuti kwenye semina inayohusisha wamiliki wa blogs na wasimamizi wa
tovuti kwenye semina ya siku mbili iliyoandaliwa na Mamlaka ya
Mawasiliano Tanzania (TCRA)
Baadhi ya Washiriki waliohudhuria
katika semina ya siku mbili innayoendeshwa na Mamlaka ya Mawasiliano
Tanzania (TCRA) katika semina inayofanyika leo na kesho.
No comments:
Post a Comment