Tuesday, May 7, 2013

HIVI NDIVYO ALIYEMUWAKILISHA PAPA ARUSHA,ALIVYOONDOKA AIRPORT CHINI YA ULINZI MKALI


Mwakilishi wa Papa akiwa na Askofu Lebulu akitoka kwenye VIP ya Arusha Airport kuelekea kwenye ndege ya Precision .Ilikuwa ni dakika za majonzi na masikitiko kwa kundi lote lililokuwa limemsindikiza uwanja wa ndege Balozi wa Papa ambaye ameondoka leo mjini Arusha kuelekea Dar, baada ya kunusurika katika shambulio la bomu lililorushwa wakati akiwa mgeni rasmi kwenye uzinduzi wa kanisa la Mt. Joseph Mfanyakazi huko Olasiti Arusha.
Click image for larger version. 

Name: DSC00042.JPG 
Views: 0 
Size: 164.6 KB 
ID: 92800
Hapa akisaidiwa na wafanyakazi wa Precision kukamilisha dokomenti zake za Usafiri, huku ulinzi ukiwa umeimarishwa 
Click image for larger version. 

Name: DSC00043.JPG 
Views: 0 
Size: 164.3 KB 
ID: 92801
Kwaheri Mtumishi wa Mungu, tunaomba uje tena tutakapoamua kuzindua upya Parokia Yetu ya Yosefu Mfanyakazi- Olasiti Arusha.

No comments:

Post a Comment