“Wilaya ya Columbia wanasherehekea kila mwaka ifikapo tarehe 16 ya
mwenzi wa Aprili, “Emancipation Day”, ambapo huadhimisha Taifa
kulipigana vita kwa ajili ya uhuru na haki ya usawa chini ya sheria,” DC
Meya Vincent Gray alisema kwenye taarifa yake.
“Katika mazingira ya kisasa, Emancipation ni Siku pia inatoa muda wa kutafakari juu ya mapambano ya Wilaya ya sasa ya bajeti kwa uhuru na uwakilishi kamili katika Congress.”
Ukombozi wa Watumwa ni Siku rasmi ya likizo kwa umma jijini Washington DC.
Ni sherehe kwa gwaride, kuheshimu maadhimisho ya kusainiwa kwa DC Compensated Emancipation Act, ambayo iliwaacha huru Aprili 16, 1962, zaidi ya watuma 3,100 waliokuwa utumwani hapa District of Columbia. Viongozi wa umma, shule na vikundi vya jamii huja pamoja familia na marafiki kwa ajili ya tukio hili, kama lililovyofanyika jana Jumanne Aprili 16, 2013.
Zifuatazo ni picha alizozipiga Abou Shatry alipojumuika katika siku-kuu hiyo.
Tizama picha zaidi kwenye blogu yake ya swahilivilla.blogspot.com
“Katika mazingira ya kisasa, Emancipation ni Siku pia inatoa muda wa kutafakari juu ya mapambano ya Wilaya ya sasa ya bajeti kwa uhuru na uwakilishi kamili katika Congress.”
Ukombozi wa Watumwa ni Siku rasmi ya likizo kwa umma jijini Washington DC.
Ni sherehe kwa gwaride, kuheshimu maadhimisho ya kusainiwa kwa DC Compensated Emancipation Act, ambayo iliwaacha huru Aprili 16, 1962, zaidi ya watuma 3,100 waliokuwa utumwani hapa District of Columbia. Viongozi wa umma, shule na vikundi vya jamii huja pamoja familia na marafiki kwa ajili ya tukio hili, kama lililovyofanyika jana Jumanne Aprili 16, 2013.
Zifuatazo ni picha alizozipiga Abou Shatry alipojumuika katika siku-kuu hiyo.
Tizama picha zaidi kwenye blogu yake ya swahilivilla.blogspot.com
Meya
wa Wilaya ya District of Columbia Vincent C. Gray akitembea katika
gwaride la Maadhimisho 151 ya Ukombozi wa Watumwa katika wilaya ya
District of Columbia barabara ya Pennsylvania Avenue, NW Washington DC
Nchini Marekani.
Askari
waliovalia magwanda ya Civil War wakipita katika gwaride katika wilaya
ya District of Columbia barabara ya Pennsylvania Avenue, NW Washington
DC
Kina Mama waliovalia mavazi Quality ya kihistoria ya Civil War katika enzi za kitumwa wakitembea kwa madaha katika gwaride la Maadhimisho ya Ukombozi wa Watumwa, Wilaya ya District of Columbia barabara ya Pennsylvania Avenue, NW
Free
DC! Statehood: kama sign zinavyoonyesha katika gwaride la maazimisho
ya Maadhimisho 151 ya Ukombozi wa Watumwa yaliofanyika Siku ya Jumanne
April 16 Jijini Washington DC
Baadhi ya wananchi wa DC walivyotokelezeaa na ujumbe wa Yes We Can kuunga mkono The Emancipation Day Parade
Cheif
wa swahilivilla akiwa na Tabu Henry Tayor African American aliejivisha
minyororo kama mtumwa alieeachiwa huru kwa mazungumzo zaidi tutawaletea
alichokielezea wakati alipolonga na kwa swahilivilla.
Mama
Nea Kuumba (wapili kushoto) akiwa na wezake kando ya barabara ya
Pennsylvania Avenue, NW wakiunga mkono Emancipation Day Parade -
Washington DC
Mjomba
Samuel ambae ni mTanzania anaeshi Washington DC akiwa na famili
yake katika gwaride la Maadhimisho 151 ya Ukombozi wa Watumwa katika
wilaya ya District of Columbia barabara ya Pennsylvania Avenue, NW
Washington DC Nchini Marekani.
Chief
wa swahilivilla Abou Shatry akiwa na Mayor wa wilaya ya District of
Columbia Vincent C. Gray , kushoto Mrs Helen L. Higginbotham katika
parade ya mazimisho ya The District of Columbia Emancipation Day
No comments:
Post a Comment