Mishahara
ya Watumishi wa Umma imeongezewa Bajeti yake kwa jumla ya tshs 1
trilioni. Hivi sasa Bajeti ya Mishahara (wages and salaries) ni wastani
wa tshs 320 bilioni kwa mwezi, nyongeza hii inapelekea Bajeti hii
kufikia tshs 403 Bilioni kwa Mwezi. Hivyo tunaweza kusema mishahara
itaongezeka kwa asilimia 30. Je watumishi wa kada za chini nyongeza yao
itakuwa sawa na watumishi wa kada za juu?
Je watumishi
kama walimu wafundishao shule za Vijijini kama Mwamgongo - Kigoma,
Urughu - Singida au Namasakata - Tunduru mishahara yao itakuwa sawa na
Walimu wa Jijini Mwanza, Tanga, Dar na Mbeya kwa mfano? Walimu na
Wauguzi wanaofanya kazi kwenye mazingira magumu kwanini hawapewi
vipaumbele ili kuweka usawa kwenye mgawanyo wa watumishi kwenda maeneo
ya pembezoni kama Kigoma, Mtwara, Lindi, Singida nk? (kuna tofauti ya
kuwa pembeni na kuwa pembezoni). Jumla ya Bajeti yote ya Mishahara kwa
mwaka 2013/2014 itakuwa tshs 5.04 trilioni kutoka tshs 4 trilioni za
mwaka 2012/13......
Mishahara
ya Watumishi wa Umma imeongezewa Bajeti yake kwa jumla ya tshs 1
trilioni. Hivi sasa Bajeti ya Mishahara (wages and salaries) ni wastani
wa tshs 320 bilioni kwa mwezi, nyongeza hii inapelekea Bajeti hii
kufikia tshs 403 Bilioni kwa Mwezi. Hivyo tunaweza kusema mishahara
itaongezeka kwa asilimia 30. Je watumishi wa kada za chini nyongeza yao
itakuwa sawa na watumishi wa kada za juu?
Je watumishi
kama walimu wafundishao shule za Vijijini kama Mwamgongo - Kigoma,
Urughu - Singida au Namasakata - Tunduru mishahara yao itakuwa sawa na
Walimu wa Jijini Mwanza, Tanga, Dar na Mbeya kwa mfano? Walimu na
Wauguzi wanaofanya kazi kwenye mazingira magumu kwanini hawapewi
vipaumbele ili kuweka usawa kwenye mgawanyo wa watumishi kwenda maeneo
ya pembezoni kama Kigoma, Mtwara, Lindi, Singida nk? (kuna tofauti ya
kuwa pembeni na kuwa pembezoni). Jumla ya Bajeti yote ya Mishahara kwa
mwaka 2013/2014 itakuwa tshs 5.04 trilioni kutoka tshs 4 trilioni za
mwaka 2012/13......
Mishahara
ya Watumishi wa Umma imeongezewa Bajeti yake kwa jumla ya tshs 1
trilioni. Hivi sasa Bajeti ya Mishahara (wages and salaries) ni wastani
wa tshs 320 bilioni kwa mwezi, nyongeza hii inapelekea Bajeti hii
kufikia tshs 403 Bilioni kwa Mwezi. Hivyo tunaweza kusema mishahara
itaongezeka kwa asilimia 30. Je watumishi wa kada za chini nyongeza yao
itakuwa sawa na watumishi wa kada za juu?
Je watumishi
kama walimu wafundishao shule za Vijijini kama Mwamgongo - Kigoma,
Urughu - Singida au Namasakata - Tunduru mishahara yao itakuwa sawa na
Walimu wa Jijini Mwanza, Tanga, Dar na Mbeya kwa mfano? Walimu na
Wauguzi wanaofanya kazi kwenye mazingira magumu kwanini hawapewi
vipaumbele ili kuweka usawa kwenye mgawanyo wa watumishi kwenda maeneo
ya pembezoni kama Kigoma, Mtwara, Lindi, Singida nk? (kuna tofauti ya
kuwa pembeni na kuwa pembezoni). Jumla ya Bajeti yote ya Mishahara kwa
mwaka 2013/2014 itakuwa tshs 5.04 trilioni kutoka tshs 4 trilioni za
mwaka 2012/13......
No comments:
Post a Comment