Mke
wa Rais na Mwenyekiti wa Taasisisi ya WAMA , Mama Salma Kikwete
akifunga kongamano la Ulimwengu la Afya ya Uzazi la siku 3 Katika
ukumbi wa mikutano ya kimataifa AICC mjini Arusha leo, Kongamano hilo
lilewashirikisha wataalamu wa masuala ya afya ya uzazi wapatao 800
kutoka mataifa mbalimbali ulimwenguni, (Picha na Mwanakombo Jumaa-
MAELEZO).
Baadhi
ya wataalamu wa kongamano la ulimwengu la afya ya uzazi wakimsikiliza
Mke wa Rais na Mwenyekiti wa Taasisi ya WAMA , Mama Salma Kikwete
(hayupo pichani wakati wa kufunga kongamano Jan,17,2013 mjini Arusha,
ambapo wataalamu wa masuala ya afya ya uzazi zaidi ya 800 kutoka ndani
na nje ya nchi wamehudhuria, (Picha na Mwanakombo Jumaa- MAELEZO)
Baadhi
ya wataalamu wa kongamano la ulimwengu la afya ya uzazi wakimsikiliza
Mke wa Rais na Mwenyekiti wa Taasisi ya WAMA , Mama Salma Kikwete
(hayupo pichani wakati wa kufunga kongamano Jan,17,2013 mjini Arusha,
ambapo wataalamu wa masuala ya afya ya uzazi zaidi ya 800 kutoka ndani
na nje ya nchi wamehudhuria, (Picha na Mwanakombo Jumaa- MAELEZO)
Mke
wa Rais na Mwenyikiti wa Taasisisi ya WAMA ,Mama salma Kikwete (alievaa
kitnge) akiogozana na watendaji wakuu wakielekea katika eneo la kupigia
picha ya pamoja
No comments:
Post a Comment