Mh. Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiwa anajadiliana jambo na Waziri Mkuu Mstaafu Mh. Edward Lowasa baada yakushuka katika ndege uwanja wa Dsm wakitokea Dodoma Mh Pinda alikuwa Dodoma ambako alifungua mkutano mkuu wa Baraza Kuu la Wafanyakazi wa Serekali za Mitaa nyuma yao ni Waziri wa nchi ofisi ya waziri mkuu tawala za mikoa (TAMISEMI) Mh. Hawa Ghasia wakiwa na Mkuu wa wilaya ya Kinondoni Mh Jordan Rugimbana ambaye alikuja kumpokea waziri mkuu uwanjani hapo picha na chris mfinanga |
Friday, January 18, 2013
MIZENGO PINDA ANAPOBADILISHANA MAWAZO NA ALIYEMUACHIA NAFASI YA UWAZIRI MKUU
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment