Rais Jakaya Mrisho Kikwete akioneshwa na Katibu wa Kanisa la
Anglikana Dayosisi ya Dar es salaam Bw. M Mkosimonga uharibifu mkubwa
uliofanywa kwenye kanisa hilo huko Mbagala jijini Dar es salaam wakati
wa vurugu za Waislamu Ijumaa iliyopita kufuatia habari kuwa kuna mtoto
amekojolea Msahafu |