Saturday, October 20, 2012

PICHA ZA WANAJESHI WALIOMPIGA POLISI WA USALAMA BARABARANI (TRAFFIC) LEO HASUBUI KATIKA MAENEO YA UBUNGO MATAA JIJINI DAR ES SALAAM

Kwa mbali anaonekana askari wa Usalama barabarani wakiwa katika majibizano na askari wa JWTZ baada ya kumpiga kwa kile kinachodaiwa kuwa  traffic huyo amewachelewesha katika Msafara wao. Baada ya askari huyo kupigwa wanajeshi hao waliondoka na kuelekea barabara ya TAZARA.