Vurugu huko Zanzibar zinazidi kuchukua Sra mpa baada ya leo taarifa kutufikia kuwa usiku wa kuamkia leo kuna askari mwingine ameuawa na watu wanaosadikiwa kuwa ni kikundi cha Uamsho wanaomtafuta kiongozi wao aliyepotea katika mazingira ya kutatanisha Sheikh Farid.
Habari hizo zinasema kuwa
safari hii askari aliyeuawa ni askari wa kike ambaye inasemekana nae ameshambuliwa na
wanaodhaniwa kuwa ni wafuasi wa kikundi cha UAMSHO.
Huu utakuwa ni
muendelezo wa mauaji ya askari huko Zanzibar baada ya jana kuriporiwa
kuuawa kwa koplo Said Abdulrahman...