Mwandishi wa Chanel alivyoumia katika vurugu za kudai haki ya Gesi Mtwara katika vurugu zinazoendela muda hapo jana.
Askari wa kutuliza ghasia wakiwa tayari kutuliza fujo Mtwara kwa kile kilichoelezwa ni vurugu zinazoendelea za gesi
Katika vurugu hizo, Nyumba ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu,\
Tawala na Serikali za Mitaa, Hawa Ghasia, imepigwa mawe na kuvunjwa vioo na Mahakama ya Mwanzo kuchomwa moto na hivi sasa mabomu ya machozi yanaendelea kulindima Mtwara Mjini hivyo Jeshi la wananchi limelazimika kuingilia kati kutuliza ghasia hizo, hizi ni habari zilizopatikana muda huu
Katika vurugu hizo, Nyumba ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu,\
Tawala na Serikali za Mitaa, Hawa Ghasia, imepigwa mawe na kuvunjwa vioo na Mahakama ya Mwanzo kuchomwa moto na hivi sasa mabomu ya machozi yanaendelea kulindima Mtwara Mjini hivyo Jeshi la wananchi limelazimika kuingilia kati kutuliza ghasia hizo, hizi ni habari zilizopatikana muda huu
No comments:
Post a Comment